Mbinu Za Kuongeza Ujasiri Na Kujiamini.
Unakosa ujasiri unaposimama mbele za watu, unashindwa kuongea vidole vinatokwa jasho?, kila unachotaka kufanya unaogopa, unasikia kukata tamaa. Unaona huwezi kufikia malengo yako?
Ndio maana nimekuandikia eBook Ya Mbinu Za Kuongeza Ujasiri Na Kujiamini ili uongeze ujasiri wako na kujiamini.
Nini utajifunza ndani na eBook Hii:
Jinsi ya Kujenga hali ya Kujiamini.
Hatua Muhimu unazotakiwa kuzichukua ili Kuwa na Ujasiri wa kudumu.
Jinsi ya Kupata Matokeo Kati kati ya Hofu.
Jinsi ya Kushinda Hofu inayoua Ujasiri wako.
Jinsi ya kuamua Kuwa tofauti.